Waliofariki MV Nyerere wafikia 151 , Mbunge wa Ukerewe adai changamoto za kivuko zilitatuliwa

IF YOU ARE 18 YEARS CLICK BELOW TO WATCH AND DOWNLOAD FULL VIDEO

Saturday, September 22, 2018

Waliofariki MV Nyerere wafikia 151 , Mbunge wa Ukerewe adai changamoto za kivuko zilitatuliwa

Wakati idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali ya kivuko cha MV Nyerere kilichozama juzi mchana Septemba 20, 2018 imefikia 151 huku uokoaji ukiendelea, Mbunge wa Ukerewe, Joseph Mkundi amesema kivuko hicho kilifanyiwa ukarabati kama alivyoomba bungeni. 
Share :
Facebook Twitter Google+

 

Back To Top