Je unatamani kuishi milele?. Huko nchini Marekani mjasiriamali mmoja wa masuala ya teknolojia, Eloni Musk anadhanii binadamu huwenda wakaepuka kifo kutokana na ujio wa teknolojia mbalimbali duniani.
Mwanasayansi huyo kwa sasa anashughulikia teknolojia ambayo itaunganisha mfumo wa ubongo wa binadamu na kompyuta hali ambayo itazuia miili ya binadamu kutozeeka na kufungua miingiliano na kidigitali daima.
Mwanasayansi huyo kwa sasa anashughulikia teknolojia ambayo itaunganisha mfumo wa ubongo wa binadamu na kompyuta hali ambayo itazuia miili ya binadamu kutozeeka na kufungua miingiliano na kidigitali daima.

